Kuna stori za baadhi ya Viongozi wa Africa kung’ang’ania kukaa
madarakani hata baada ya vipindi vyao vya uongozi kuisha, pia wako ambao
wanaendelea kuongoza kihalali kutokana na mabadiliko ambayo wameyafanya
kwenye Katiba ili waendelee kuongoza !!
IFAHAMU LIST YA MARAISI 10 WENYE UMRI MREFU:
IFAHAMU LIST YA MARAISI 10 WENYE UMRI MREFU:
1. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ana miaka 91, ndiye Rais mzee kuliko wote, ameshinda urais kwa muhula wa saba
6. Rais wa visiwa vya Sao Tome, Manuel Pinto da Costa ana miaka 77, aliingia madarakani tangu mwaka 2011
0 Comments