Habari

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Advertise with us here

TOP 10 YA MARAISI WA AFRIKA WENYE UMRI MKUBWA ZAIDI

Kuna stori za baadhi ya Viongozi wa Africa kung’ang’ania kukaa madarakani hata baada ya vipindi vyao vya uongozi kuisha, pia wako ambao wanaendelea kuongoza kihalali kutokana na mabadiliko ambayo wameyafanya kwenye Katiba ili waendelee kuongoza !!

IFAHAMU LIST YA MARAISI 10 WENYE UMRI MREFU:

rais
1. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ana miaka 91, ndiye Rais mzee kuliko wote, ameshinda urais kwa muhula wa saba


tuni
2. Beji Caid Essebsi-Ana miaka 88, amekua Rais wa Tunisia tangu Desemba 31 2014

biya
3. Rais Paul Biya wa Cameroon ana miaka 82, ameingia madarakani tangu mwaka 1982

alge
4. AbdelAziz Boeteflika ni Rais wa Algeria toka April 1999, ana miaka 78

gine
5. Rais wa Guinea Alpha Conde ana miaka 77, amekua madarakani tangu December 2010

da
6. Rais wa visiwa vya Sao Tome, Manuel Pinto da Costa ana miaka 77, aliingia madarakani tangu mwaka 2011


lib
7. Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ana miaka 76, aliingia madarakani tangu Januari 2006

muth
8. Rais wa Malawi, Peter Mutharika ana miaka 74, aliingia madarakani May 2014

ivoo
9. Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara  ana miaka 73, aliingia madarakani tangu mwaka 2011

zzzzz
10. Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ana miaka 73, aliingia madarakani tangu May 9, 2009

Post a Comment

0 Comments

Youtube Channel Image
Hajiizo Subscribe To watch more
Subscribe