Habari

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Advertise with us here

SMS KALI ZA MAPENZI KWA AJILI YA MPENZI WAKO

Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? 

Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni 

mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa 

nakupenda, niamini mpenzi
   *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni 
siri ya maisha matamu
     nakupenda mpenzi
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda 
kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"
nakupenda laazizi
"Kama mimi nilikuwa na maua  kila wakati
mawazo yangu 
yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla 
yako je wewe ungekuwepo nayo
 ungempa nani kwanza? "
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na 
likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo 
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu 
Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi 
mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo 
Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua 
nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu 
ili 
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako 
mpenzi.nakupenda sana laazizi       
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi 
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia 
moyoni mwangu 
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda 
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mapenzi si pombe  lkn yanalewesha, wala si kidonda  lakini 
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala  si 
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa 
unaempenda
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni 
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni 
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe 
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda 
pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu 
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
nimetuma ndege wangu auzunguke ''moyo'' wako kwa '' upendo 
''  auguse ''uso'' wako kwa ''faraja'' na mwisho 
akunong'oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni 
zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza 
kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo 
wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi 
haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane 
badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku 
wakigombana wataachana.
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharani 
nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa 
yakini.  
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua 
furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu 
nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu 
tabibu ,we ndo wangu wa manani.
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo 
huhitaji uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato 
lako,nakupenda mpenzi
     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni 
yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea 
kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na 
karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

>>--------->>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk 
maisha yangu na kama umekutana nao
 usiukwepe uache 
uchome Moyo wako gharama
 za matibabu juu yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi
unayonipatia,
moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
kukupatia nakupenda
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona
 kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi
 lako.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja
kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa 
sasa siwezi kukupatia
kwa maana mgeni kashakuharibia
            nakupenda dear

        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Ni yangu mazoea kila cku cm yako
 kuipokea kama si meseji 
kunitumia
leo naumia kila napo fikiria nini
 kimetokea hadi 
mawasiliano yetu
yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali
 ya kawida itarejea 
na
majonzi moyoni yatanipotea
         nakupenda mpz
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nimezunguka pande zote za Tanzania macho
 nikiyaangaza 
kumsaka mrembo
 wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo
ndani yake na kulila 
TUNDA lake
kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi 
kama wewe ndiye
ulie uteka moyo wangu.  
      nakupenda laaziz
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Raha ya ucngz ni ucngz . .  . .''tamu''ya penzi ni ndoto . 
Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi 
nikiwa mimi,
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute 
nakupenda mpz moyoni mwako unitulize.
 Nakupenda mpz
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda 
mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz.
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta 
amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong'oneze mwambie 
nampenda sanaaaa
        Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati 
,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi 
kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.
 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama 
ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi 
milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?
 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbal 
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza 
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu!
 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
kamwe cwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo 
mwangu cku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa 
maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba 
sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez 
kuipeza,nakupenda wewe pekee
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kama 
nyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kiangazi aumasika
 kukupenda nitawajibika kwenye chupa au birika chai yako 
ya uhakika ,iwe ndoo au pipa ujazo wa penzi kimiminika.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila 
nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni 
ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi 
ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila 

kujali.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni 
zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani 
unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako 
limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako 
haliwezi futika.
   NAKUPENDA
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani 
nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa 
yakini.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya 
nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maisha 
yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo 
halitapona .nakupenda sana
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwa 
dakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli 
usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni 
mwangu nimeridhia. . . .nakupenda daima mpenzi!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba 
sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi 
kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la 
mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili 
chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu 
nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi 
letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha 
hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi 
asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa 
wengine wanaweza kukupa. . . .njoo leo uniambie unataka 
nini?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo,kuridhishana,kupeana 
bila 
kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus
ikilizana.je utaweza kujifanyia yote hayo?nijibu mpenzi. . 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo 
wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni 
machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini 
haitochuruzika ila mishipani. . . .
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia 
nzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langu 
kwako ni nuru daima halizimiki.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha 
hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha 
unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . 
.njo leo uniambie unataka nini?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nipe niridhike,nionjeshe usinilambishe,nikigonga 
nikaribishe na penzi le2 2listawishe.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo
 kuridhishana,kupeana bila 
kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus
ikilizana,je utaweza kujifanyia yote hayo?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Utakuwa wangu wa maisha daima na penzi le2 litakuwa km 
mfuko wa hazina,2talitunza km zaidi ya mboni la jicho.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibika 
moyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufa 
usiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Swt ulivyoumbika wengi wanateseka juu yako ,najua 
wanakusumbua ni vema usiwakubalie, ukweli umebarikiwa 
uzuri umeshushiwa na dhati ya penzi umetunukiwa nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
wengi walisema penzi letu lisingedumu,lakini leo twawaacha 
midomo wazi kwa misengenyo yao isiyo na maana ,tuendelee 
kupendana,wanafiki roho ziwaume!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kama ni usafiri wewe ni gari salama,kama ni kiwanda wewe 
ni namba moja ,kama ni maji kwako kuna chemchem,kama ni 
mapenzi kwako nimefika,niahidi utakuwa nami siku zote 
maishani mwangu.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa 
dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni 
mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika 
daima.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali 
nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza 
kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo 
tambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupo 
anayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudani 
tambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hata 
km upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, 
napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, 
mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu 
yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Joto ndio kitu nachotarajia kutoka kwao mke wangu 
mtarajiwa, usisikilize maneno yakuambiwa, ni wewe tu 
mwenye thamani kwangu katika hii dunia.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo 
huhitaji uwepo wako na hasa nikumbukapo kumbato lako, 
nakupenda mpenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika wewe ndiye wangu mahabuba unayejua kunipa huba, 
napenda unavyoniganda mithili ya ruba, nahahidi kukupa 
mahaba yanayozidi shaba. Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitoto 
na zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto, 
nahitaji uwe wangu mama watoto!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo 
wangu
 mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo  
 lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi 
 nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo 
daima milele.
       nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu 
kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele  kwa 
kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na 
mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat 
na mapenz mazito zito, 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 macho yang hutaman kukuona,mdomo wang hutaman 
kukubusu,mikono hutaman kukutomasa,uko mbali nami ila 
mwili wangu upo kwa ajili yako dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe 
huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno 
hayapo kwake,
nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo 
tayar kumsaliti na lbd aanze yeye
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa 
moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, 
tupendane daima lahazizi…
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku 
zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe 
ndiyo ua la moyo wangu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahaba 
yako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokea 
amini. Elewa mimiwako sikuachi asilani
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni 
mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako 
daima, nakupenda dear…
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu 
umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu 
peke yako dear...
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe 
nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana...
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni 
siri ya maisha matamu
     nakupenda mpz
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
mapenzi ni hisia zilizopo moyoni mwetu,hujidhihirishe pale 
unapopata umpendaye,utamu wake ni zaidi ya sukari uchungu 
wake ni zaidi ya shubiri je kwako yapo je?
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia 
na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo 
,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza 
furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo?
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
,,,,,,,,,,,,,
  |~<¤>~|
  """'''''''''"""
Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. 
Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwa 
kupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako, 
nimeambiwa ili 
nipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha 

yk,     (3)upendo wk,    (3)tabasam yk.
Je! uko tayari kuokoa maisha yangu? 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, 
naishia kukuota ndotoni, 
hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha 
kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako 
hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, 
amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe 
huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno 
hayapo kwake,
nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo 
tayar kumsaliti na lbd aanze yeye
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioni 
nasikia raha.
Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng'ombe 
akala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandika 
kwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwangu 
halitafutika kamwe.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Imara hautikisiki,kakamavu halishikiki penzi langu kwako 
ni nuru daima halizimiki.upo juu katika mapenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac 
hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na 
unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. 
Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd  kuchanganyikiwa kwa 
ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.
Nakupenda kipenz cha moyo wangu.
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi
watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo
ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako
,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini
 hawajapata wa kuwaowa
         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

 /"""""""""/!
    /    %¤   / !
   !"""""""""! !
   !.........!/

 Ndani ya box hili kuna silaha tatu za maisha ambazo ni
Aman, Upendo na Furaha, zawadi maalumu kwa watu muhimu 

kama wewe.''
        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mti 
usiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww ni 
mrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwani 
na kupenda xana tabua hilo mpnz wangu
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

upendo sio tigo eti ongea kwa nusu shilingi wala sio voda 
kazi ni kwako, pia sio airtel jisikie huru bali upendo ni 
zawadi pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo 
yetu.hili ni la kuzingatia dear nakupenda sana
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
yakumbuke haya sana katika maisha yako wahurumie wenye 
kukupenda hasa mwenye pendo la dhati kama langu,wapende 
wanaokupenda japo kwa chembe ya upendo,thamini pendo la 
akupendae kwa kila mara japo sekunde moja.       
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
nalia ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona ,najuta ninapo 
kuudhi ,naumia unapo nitenga , nateseka ukiwa kimya 
,nafurahi ukinikumbuka, nakupnda mpz
       ●´¯`´¯`●♥¡¡♥●´¯`´¯`●♥
utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wa 
penzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazi 
kwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenye 
kachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenye 
mkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifani
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
unaweza ukafunga macho kwa usilolitaka kuliona lakini 
hauwez kufunga moyo wako kwa Unalo Lipenda. Nakupenda 
Mpenzi
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
upepo wangu wakupuliza wewe kutokana na joto kali 
usijaribu kwa kuvaa sweta ukapunguza ukali ninachotaka mi 
nikuwa na wewe naomb unielewe .
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
 maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa,lakini ni 
makubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani. 
inaniuma sana
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 
katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……
lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; 
ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; 
wangu una wewe tu!
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja 
niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako 
kuwa pamoja
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale 
wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita 
ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na 
mimi, mwisho wangu ni wewe.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo 
meseji?
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu 
unaonekana hivyo kila siku
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, 
basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila 
kukupenda wewe.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, 
lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo 
mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, 
kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, 
wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. 
Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si 
mtumaji.
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji 
na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke 
kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
     *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na 
mapenzi huanza na mimi na wewe.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana 
hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, 
‘tunafiti’ kuwa pamoja.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, 
mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi 
nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo?
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka 
na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi 
jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani 
pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi 
kukosa nafasi ya kukuweka.   
     *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, 
nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja 
nawe nimelipata.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako, 
lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa 
giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. 
Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza 
usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu 
tu uliyoyaficha hayo.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia ni 
majani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangu 
bure.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia 
tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, 
hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha 
hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji 
kuishi nikumbuke mimi.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu 
nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila 
nikijitahidi unaipoteza akili yangu
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na 
furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara 

nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa 

kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu 

anayekujali.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Chuki huharibu akili; mapenzi huitibu. Umeitibu akili 

yangu.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kumjali mtu ni rahisi, lakini kumfanya mtu akujali ni 

vigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali?
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa 

kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbilio lako la mwisho, 

bali sipendi ulie peke yako.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ningependa siku moja utamani sana kuwa na mimi, na 

uhangaike sana kunitafuta, ili ujue ni kwa kiasi 

ninavyotamani kuwa nawe sasa.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kila 

ndoto yako itimie kila muda na sehemu, niwepo nikikutakia 

mafanikio mema kwasababu nakujali.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na 

maumivu yake ndani yangu.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kusumbuliwa na mlio wa simu yako, humaanisha kuwa muda 

fulani, mahali fulani, kuna mtu anakufikiria muda huu, na 

huyo ni mimi mara zote nakujali.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini 

tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu 

usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, 

lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka 

sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi 

sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, 

hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa 

naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa 

katika maisha yangu.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo 

ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila 

ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua 

kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini 

kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka 

moyo na akili yangu pia.
     *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua 

yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote 

yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu 

kwa kuwa tunapendana!
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo 

muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la 

pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa 

kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana 

pamoja.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yule 

atakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasi 

inapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letu 

laazizi wangu.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu ni 

kubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe ni 

mtu muhimu sana maishani mwangu.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu 

hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana 

sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa 

kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako 
na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na 
msichana kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. 
Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita 
maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa 
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, 
ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda 
mpaka mwisho wa uhai wangu.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba 
mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza 
kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza 
kukuacha.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka 
nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu 
nakusubiri daktari wangu.
      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki 
zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako 
wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, 
tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata 
ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
♥Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu 
kusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Huruma 
huoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosa 
husameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kila 
jambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendo 
huambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njia 
za mafanikio huonyeshana!!! Mbele ya madui hulindana!!!nai 
ni mmoja katia ya wakupendao,hakika ni 
mm wa kwanza kwanza wengine wanafata♥

      *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
     
USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na 
wali, 
usizidishe siki akawa mkali. 
Ni 
mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali. 
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Kama upendo ni tone la mvua nakutumia 
   !!!!!
   !!!!!
   !!!!!
Kama furaha ni ua nakutumia maua
     

 *%*%*
         )!(
        (   )
kama tabasamu ni sekunde nakutumia masaa
  . '12' .
9   _/   3
   ' 
.6. '
kama maombi ni maji nakutumia bahari
-_-_-_-_-_-
-_-_-_-_-_-
-_-_-_-_-_-
kama mafanikio ni majani 
nakutumia miti
 ,:*"*;,    ,:*"*;, 
*;% ,,*  *; %,,*
__)(__   __)(__ 
kwasababu nataka uwe na furaha 
cku zote
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

 .:""""\_____.-.-._
( 0    .-----------'
  '---'
Tunza ufunguo huu,utautumia kufunga mwaka 2011 & 
kufungulia 2012. Mungu alizigawa nikakuchukulia na wewe
..............................

        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mapenzi ni magumu na yatabaki kuwa hivyo, lakini kumbuka 
kuna akupendaye naye ni MIMI!.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi 
nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, 
kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, 
fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, 
fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo 
kwa kukutumia sms mpenzi wangu, 
Nakutakia usiku mwema
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji 
kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo 
kama ukiwa mbali "NIACHE NIKUPENDE SWEET"
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwe 
sintopunguza upendo kwako, tunza sms hii ya 
ahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo! 
"NAKUPENDA MALAIKA WANGU"
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi 
umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama 
hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu "SINTOMPENDA 
MWINGINE ZAIDI YAKO" 
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani 
nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi 
kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali 
hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, 
huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili 
mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. 
Mchana mwema
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na wala 
sina wazo la kukutenda, nakuomba 
tuendelee kupendana siku zote habbity wangu
         *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, 
siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu 
muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. 
"NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno 
laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama 
apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee 
salamu "UHALI GANI MPENZI?"
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
tazama, nimezama
ndani ya bahari
la penzi lako
siwezi
kusonga mbele
kurudi nyuma
sijielewi
haya mapenzi ya fujo hayafai
kama wanipenda
jaribu kunipa raha
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na 
liku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlo 
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2 
Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi Mwenyewe 
Silijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus. 
Nakupenda Xana Dia
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mungu akubariki uwe mwiz wa ujuzi na maarifa, mlafi wa 
kushauri, mroho wa busara, mchoyo wa matusi, mlevi wa 
upendo na kiherehere cha kuabudu.say Amen! Ucku mwema 
mpenz
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo 
ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla 
hjalala.g9t
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
pindi nikukumbukapo chozi langu huwa linatoka bila 
sababu,kasi Ya mapigo ya moyo Huongezea Pasipo 
Sababu,nimegundua Nakuhtaji Naomba Unikubalie.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
pendo la dhati lina sifa 
zifuatazo,kuvumilana,kusubiriana,kujaliana,kushauriana,na 
La Mwisho Ni Mimi Na Wewe.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Neno Nakupenda Hutamkwa Kwa Lugha Legeeevu Yenye 
Kuambatana Na Hisia Nzito Zilizofikicha Mioyoni 
Mwetu,hutamkwa Kwa Kauli  Bashasha,nakshi Na Hofu Ndani 
Yake.raha Yake Umpate Anayekujali Kama Mi Ninavyokujali 

Nakupenda Mpz       
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Napenda Kuiga Na Kujifunza Nisivyovijua Lakini Kukupenda 

Wewe Siwezi Kuiga Wala Kujifunza. Nakupenda Saaana
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
 ahsante mpz kwa kujua thaman yangu kwako,nashukuru 
umegundua hisia zangu mapema naomba unipe hifadh ya kudumu 
ndani ya wigo wa mtima wako.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Nakupenda zaidi ya Armasi inayo chimbwa ardhin,sipendi 
nikupoteze nikajutia Moyoni,naitaji nikuenzi,km mboni yng 
machoni.
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,sababu we ndo 

wangu kipenZ,na sina mwengine lahazz.
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Mapenz yk hasari kwa mwengine sitamani,umeniteka 
akiri,mpaka najihisi punguani,nakupenda sana mpenzi!!
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Ewee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,hakika 
n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa....!!!
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Wangu hayuni mwenye upendo wa dhati,hakika 

nakupenda,mwengine sitamani,hamin mpenz kwa zangu hiz 
tenzi..!
        *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*
Moyo hauna nafasi kwa pendo lilo na nia, sijali 
wala sihisi kwako nimejitolea, kwangu toa
wasiwasi sishindwi kukuridhia, kwa yangu hii 
nafasi moyo umekuchagua
..............
Moyoni mwangu hutoki nakuomba ukubali, nawala 
sibadiliki hilo kwangu ni muhali, si km 
sikukumbuki zimenijaa shuhuli, ww kwangu si 
rafiki ni ndugu nnaekujali
.........
Ewe ulo2lizana chaguo la moyo wng kila 
nnapokuona huniondoka machungu tabia zako 
mwanana zmeuteka moyo wangu yoyote atakaekuona 
mwambie ww ni wangu
.......
Moyo unasikitika hauto acha daima. Machozi 
yatiririka siusiku si mchana. Huzuni imenishika 
kwa vile sijakuona 
.........
ndege tausi alimuuliza kasuku "hivi kuna viumbe 
wazuri kuliko sisi duniani?"kasuku akajibu,ndio 
wapo kama hujui mtizame huyu anayesoma msg hii
...........
 Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo
nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto
kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, 
nakumiss dear fanya hima nyumbani
kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda 

dear
.........
Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni 
penzi nadhifu hilo lazima ujue, Wala si penzi 
la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi la insaaf 
nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako 
nitayarikufa,kama kupenda maradhi dawa kwako 
natafuta, kama kupenda bahati mwenzako 
naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab 
Na wala sitampa mwengine anayefanana na wewe
........................................
  UPENDO si ndege ukaonekana angani, 
UPENDO si tunda lichumwalo mtini,
 UPENDO si wimbo ningekuimbia, 
UPENDO si vazi ningekushonea,
 UPENDO  si picha yangu
 ningekutumia bali
 UPENDO ni thamani iliyoko
 moyoni mwangu.
 nakupenda na nakutakia 
usku mwema.
.......................
   salaam ni 
1,nuru humfariji aliye na huzuni  
  2 ni jahazi huvusha aliye ng'ambo                        
     3,pia ni nuru huangaza gizani,
 wewe ni lulu yangu nakupenda xana,
......................
  "Umbali si shari ila kujua hali ni mali",
 "jambo la wema ni asali ukimya ni ajali", 
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
................................
   Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,
 STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
 SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua,
 ila napenda jinsi anavyo CORDINATE na wa2,
 nafurah kwa kuwa  naongea nae SIMULTANEOUSLY,
 ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua 
kuwa nampenda  yaan nahic kama niko
 kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza
 lakin is very long MATRIX .
Nafikir  
ushamjua kwan shep yake ni SIMPLE POLYGON
 namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea
...............................
Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,
sababu we ndo wangu kipenZ,
na sina mwengine lahazz.
..............................
wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,
hakika n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa....!!!
...........................
Nashndwa kulala haja ya moyo wng 
naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua
...................................
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako,
 utawaliwe na

usingizi wa mahaba kwenye kope zako,
 naomba

ujenge taswira yangu katika mawazo yako,
 Usisahau kuniota
sweet wangu. USIKU MWEMA
......................
Asali wa moyo wangu,
 fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba
 mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba,
 jua linaweza kusimama, 

lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie,
nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, 
njooo mwandani wangu 

nakusubiri daktari wangu.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ?
 Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo,
 ndugu zako wanaotugombanisha 

na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi.
 Mapenzi yetu yadumu daima.
*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*
 "Umbali si shari ila kujua hali ni mali", 
"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali", 
"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"
I LOVE U
.....................................
  Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,, 
STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,
 SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda
jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa  naongea
 nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION
 atajua kuwa nampenda  yaan nahic kama niko kwny CIRCLE 
kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX .
Nafikir  ushamjua kwan shep yake 
ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!!
 Chezea
................................
   Katu si kila rafiki ni msafi
 wa moyo. Wengine ni wanafiki 
wanakuonea choyo. Hutamani
ufariki wachukuwe upendayo. 
Hawa hawafadhiliki husda ni 
kazi yao, kila unachomiliki
hutamani
 kiwe chao. lau kama husadiki 
jaribu kukaa nao.Mchana mwema.
..........................
 Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta 
amechoka mpe "POLE" ukimkuta mpweke"MLIWAZE" ukimkuta
 anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu "MTATULIE"
............................

Uliposema wanipenda sikuamini ipo siu utaja nitenda!, nilikueleza nini napenda nawe ukaapa yote kutenda kwakuwa wanipenda, leo umebadirika waanza nitenda, hivi kweli bado wanipenda??

     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Ulipolihitaji langu penzi ulidiriki hata kulimwaga chozi leo umepata langu penzi waniletea pozi, siwezi lazimisha penzi pasipo na penzi, amini nilikupenda ila nimeshindwa na zako pozi, nakutakia maisha mema na huyo wako mpya mpenzi. Be blessed..!!

       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hakika uliuteka moyo wangu, nikaamini u wangu peke yangu, nikaziba masikio yangu yote niliyoambiwa na rafiki zangu, kumbe naidanganya nafsi yangu. Its over baby!

     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!

     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu

     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hakika mpenzi nimechoka kuvumilia kila siku naishia utamu kuuckilizia njozini unaponijia, najiuliza lini utanivulia niachane na ndoto tele ndotoni zinazonijia?

     •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

m?y?ni naumia kila napofikiria yale uliyonitendea,

sijui ni nini nilikukosea kama mapenzi ya dhati naamini nilikupatia na moyoni nilikuwa najivunia na kujiona zaidi ya mfalme katika hii dunia kumbe kiini macho ulikuwa wanifanyia leo najutia muda ulionipotezea kumbuka nilikupenda

        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

kama kuvumilia nimevumilia na sasa yatosha,

nikoradhi mbivu zako kuzikosa,

kuliko kuendelea kujitesa,kumbuka nilikupenda

         •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

nimeamua kwenda kwani sihitaji kukutenda,penzi la

dhati nilikupa lakini hukutambua kuwa nakupenda

  nakutakia maisha mema na utakaye mpenda

        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Ama kweli!vizuri havikosi kasoro ,mapenzi yetu kutwa

hayaishi migogoro,hivi sasa giza limetanda totoro

 sijui lini tutamaliza hii migogoro?

        •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

 Ulisema wanipenda na katu kwa mwingine hutokwenda na leo umenitenda! Umeamua kwenda ingawa wajua bado nakupenda, leo ni siku kenda toka umekwenda, amini bado nakupenda na kwa mwingine siwezi kwenda!

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Kila siku mimi ni mtu wa kulia, ipo siku uvumilivu utaniishia, hivi ni kwa nini hutaki kutulia na kila kitu nimekupatia, wewe wehuka na hao wanaokupapatikia, lakini utaja jutia siku ikiwadia.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

· Nilidhani nimepata kumbe nimepatikana, sasa nafsi yangu ishasema hapana, namuomba Maulana akujalie kheri na afya njema daima, kumbuka nilikupenda sana.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Hakika najutia nafsi yangu kukupatia mwanaume kiruka njia kila mwanamke wewe akuvutia, nguo shuruti wataka akuvuliye, katu penzi sitakaa nikupatiye.

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Mpenzi mbona mapenzi yetu kama yanapoteza dira, kila siku huishi hila, kitu

kidogo wafura hasira. Wanichanganya dia!

•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Najua ni kweli wanipenda,hata mimi nakupenda laaziz wangu,ila pendo lako litajidhihirisha zaidi kangu ukizidisha uaminifu.nakupenda mpenzi

  •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 

Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
 Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali 
walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa la dhati 
penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

Leo tukiwa katikati ya mwezi wa kumalizia nusu ya kwanza ya mwaka 2013, nachukua fursa  hii kuwatakia MAFANIKIO BORA ya MAISHA wale wote wanaonipa ushirikiano mzuri katika maisha yangu..
Kila niliposoma sms  zako zenye nasaha nyingi  niligundua mambo makubwa matano.
1:KUNIJALI
2:UPENDO
3:FURAHA
4:WEMA
5:KUTHAMINI
Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya maana sana kwangu, pia sikuhisi UPWEKE wa kukosa NDUGU katika huu uso wa DUNIA pia nakuomba unisamehe pale nilipokukosea.
Hivyo nami nakutakia mambo makubwa matatu kwa MUNGU;
1. RADHI ZAKE
2. HAIBA KWA WATU
3. MAFANIKIO MEMA. "asante sana"
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
  moyo wangu saafi kama upole wa tausi  wingi wa baridi kama maji ya mtungi ,yote ni kutokana na mapenzi unayonipatia.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
  Mapenz hayana msimu walam majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nashindwa kudanganya moyoni ulivyonijaa
faraja na furaha  uliyonipa
moyoni umeshaniingia kwa tabasamu unalonipa
moyo wangu wakuridhia. 
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani, RAha ya ndege mpunga na wala sio majani, Raha ya ndege kuruka na kuimbia angani, Ndege salam nakupa zipeleke kwa makini, iwapo hukumkuta msubiri mlangoni, Usije ukaondoka ingia mpaka ndani, mwambie namkumbuka japo kuwa simuoni  
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
 Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta 
amechoka mpe "POLE" ukimkuta mpweke"MLIWAZE" ukimkuta
 anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu "MTATULIE"
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 
 Udugu wa kweli ndio wenye thamani,
Utajiri
 na mali si chochote maishani,
Upendo na 
kunijali ni faraja yangu moyoni,
Hata kama
 upo mbali bado nakuthamini, Salam ni amani
 kwa yule aijuae,
Salamu ni sunna kwa yule
 aitoae,
Salamu ni thawabu kwa yule aitikiae
,
Na mimi nasema "Asalam Alykum"
 •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Alikosa raha ulipougua! alipigana na kutukanwa ulipoonewa, alikaa na njaa ili ww ushibe na kufurahi. Aliakikisha halali mpaka ww ulale, na kikubwa zaid mimi na wewe tusingejuana wala kupendana bila yeye, Je unamjua huyu? Si mwingine ni MAMA. KUMBUKA PEPO ZETU ZIKO CHINI YA NYAYO ZA MAMA ZETU.   (MPENDE SAANA MAMA)
AKIWA HAI MLIWAZE NA KM AMEFARIKI USIACHE KUMUOMBEA DUA. 
................
Ee' kidole changu (jinalo index ka'skosei). . . Ni lini utavaa pete kuthibitisha ushakwalifai leseni ya kuishi na Binti Beyo nimpendae kwa dhati tokea kilindini? 
...................
 "%%%,,"Nina",,%%%,,"busu"%%%,,"tam"%%%,,"kwa"%%%,," ajili"%%%,,"yako"%%%,,"haya"%%%,,"% %%",,"fumba"%%%,,"macho"%%%",,"bac"%%%,,"nikubusu"%%" 1__2__3aah" umevunja"%%%,,",,"masharti"%%%,,",,"bado"%%%,,",,",,","unasoma"%%%,,",, "sms"%%%,,"%%%,," nimeairisha"%%%,,"siku"%%%,,"busu",,"tena"%%%,,"%%%,,"labda"%%%,,"%%%,,"kesho"%%%,,"I "LOVE,,",,"YOU"
........................... 
.*""* . *""*.
* ""I-""L-""O
 "*.""V""E"*
      "*.U*" Hii ni mizani ya mapenzi, wengine hutoa mali au zawadi, mimi natowa moyo wangu kwako.Je ww unatoa nini ?
...........................
Kwenye ubongo  nimekusevu "I LOVE YOU," na moyoni nimeandika "ONLY YOU," na kila nimuonae  nasema "NO ONE LIKE YOU," wala cogopi kusem I'm "CRAZY" for you,every  "SECOND" I think about "YOU" so napenda uamini "ME" for "YOU," nice tym"MY DEAR" MWAAAAAAA!!!!pls kiss 4me ok
............................

  Kila nilipoona msg yako ndani yake niligundua mambo makubwa manne. 1/ KUNIJALI,
2/ UPENDO
3/ FURAHA 
4/ WEMA. Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaon
............................
Nimepanda gari la "KUKUPENDA" Nimefika kituo cha "KUKUWEKA" (moyoni)  Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali "NAWE", Nimelazwa hospital ya "KUKUMISS" (100%)  Nimeandikiwa sindano za "KUKUWAZA" / kila saa,,,  Nimetundikiwa dripu ya "UAMINIFU" na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda "MWINGINE" zaidi yako!!(.....)
...........................
 napenda wali nyama , ugali mchicha, pia roast nyama na supu mchemsho ila vyote sipendi zaidi ya ninavyokupenda.
.....................  
Sasa nimegundua DAWA ya MAISHA! N kulipiza VISASI yaani: Ukinichukia NAKUPENDA Ukiniudhi NAKUFURAHISHA, Ukinisahau NAKUKUMBUKA, ukikaa kimya NAKUSALIMIA! MAMBO?
..........................

 Salamu ni moyo ktk "IMANI". Salamu ni uhai ktk "UPENDO". Salamu ni ufunguo wa "RIZIKI" salamu ni chakula cha "NAFSI" salamu ni "MSAMAHA" wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi" salamu huondosha "UADUI" Hakika salamu ni"UTAKASO" wa "NAFSI". Nami nakupa wewe niliyekutunuku. **
.............................
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. "NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU"
...................
Dhamira kuu ya Moyo wangu ni Mapenzi, kukupenda kwa dhati bila kipingamizi, kuishi nawewe kihalali kwa kudra za wazazi, Nipende nikupende Tudumishe Mapenzi. "NAKUTAKIA MCHANA MWEMA MPENZI WANGU"

..............
Siku niliyokutana na wewe kwa mara ya kwanza haiwezi kufutika mpenzi, ilikuwa siku nzuri sana kwangu, siku ya kutambulisha hisia zangu kwako! Ukanipokea na kunikaribisha moyoni mwako! Hakika nakupenda sana mpenzi wangu!
.........................
Samahani mpenzi kwa kukupa habari mbaya! Nimepata ajali ya MOYO, nimelazwa wodi ya MAPENZI, Daktari kaniandikia vidonge aina ya BUSU, nimetafuta katika maduka yote ya dawa nimekosa! Je, wewe waweza kunipatia mpenzi wangu?
..................
Kila chozi likidondoka linaandika jina lako, kila waridi nilipandalo latoa harufu yako, kila moyo udundapo hutaja jina lako, nakupeda mpenzi wangu wa ubani, kukusaliti siwezi asilani!
......................
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!
.....................
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.
...................
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.
.......................
Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.
.................
Mpenzi nakupa pole sana maana nimesikia habari mbaya kwamba unatafutwa na polisi kwa kosa kubwa sana ambalo huwezi kulikana na lina ushahidi wa kutosha kwamba unatuhumiwa kuiba moyo na mawazo yangu kiasi cha kunijeruhi mawazo yangu hadi sasa naonekana kama chizi.
........................................................................
    STORY NZURI
      YA UPENDO 

Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba.  Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA.
Masikini kumbe jike alifika tangu jana  kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda...!!
Jee...!! wewe, utamuonesha nini umpendaye  ili aone ni kiac gani
.......................
 Tunda gani liwe mfano wako? Hamna ! Ladha gani ishinde ukarimu wako? Hamna! Ni nani nimfananishe na wewe? Hakuna! najickia furaha kukutakia uck mwema
..........................
 Kwenye ubongo  nimekusevu "I LOVE YOU," na moyoni nimeandika "ONLY YOU," na kila nimuonae  nasema "NO ONE LIKE YOU," wala cogopi kusem I'm "CRAZY" for you,every  "SECOND" I think about "YOU" so napenda uamini "ME" for "YOU," nice tym"MY DEAR" MWAAAAAAA!!!!pls kiss 4me ok
........................
 Kila nilipoona msg yako ndani yake niligundua mambo makubwa manne. 1/ KUNIJALI,
2/ UPENDO
3/ FURAHA 
4/ WEMA. Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya Maana pia sikuhisi UPWEKE wa kukosa NDUGU katika huu uso wa DUNIA.Mm nakutakia mambo makubwa matatu kwa MUNGU
1/ RADHI ZAKE,
2/ HAIBA KWA WATU 
3/ MAFANIKIO KATIKA KAZI ZA MIKONO YAKO.USIKU,,MWEMA,
..........................
 Nakupenda sana .Tafadhali nionyeshe mapenzi ya kweli kila mara na sio kwa msimu. Ningependa unishike kila mara, uniguse, unikumbatie kila wakati. Mimi ni msaada mkubwa sana kwako, nibusu popote utapokuwa nami usiniogope hakuna mtu wa kukushangaa,, nichukue hata ukiwa safarini sitalipa nauli. Kwani sina gharama kwako, hata kwenye mfuko wako wa nguo nitakaa. Nitumie kila unapojihisi upo mpweke sitaacha kukupa faraja, ni mimi mpenzio wa ukweli 'QUR-AN,,NAKUTAKIA,,RAMADHANI,,KAREEM,,USIKU,,MWEMA!!!!
..........................
 "%%%,,"Nina",,%%%,,"busu"%%%,,"tam"%%%,,"kwa"%%%,," ajili"%%%,,"yako"%%%,,"haya"%%%,,"% %%",,"fumba"%%%,,"macho"%%%",,"bac"%%%,,"nikubusu"%%" 1__2__3aah" umevunja"%%%,,",,"masharti"%%%,,",,"bado"%%%,,",,",,","unasoma"%%%,,",, "sms"%%%,,"%%%,," nimeairisha"%%%,,"siku"%%%,,"busu",,"tena"%%%,,"%%%,,"labda"%%%,,"%%%,,"kesho"%%%,,"I "LOVE,,",,"YOU"
........................
 Nimepanda gari la "KUKUPENDA" Nimefika kituo cha "KUKUWEKA" (moyoni)  Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali "NAWE", Nimelazwa hospital ya "KUKUMISS" (100%)  Nimeandikiwa sindano za "KUKUWAZA" / kila saa,,,  Nimetundikiwa dripu ya "UAMINIFU" na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda "MWINGINE" zaidi yako!
.........................
 Neno "ASUBUHI NJEMA" ni dogo sana lakini huwezi kulipata kwa asiye kujali, kukukumbuka na kukupenda, lakini mimi naona umuhimu wa kukutakia
"ASUBUHI NJEMA. JE, UMEAMKA SALAMA? si lazima ujibu kwa meseji! hata ukitabasamu na kutikisa kichwa tu inatosha! Asubuhi njema.
........................
  AJABU YA PENZI:
1. Penzi sio UGONJWA lkn linauguza!
2. Penzi sio MSIBA lkn linaliza!
3. Penzi sio HARUSI lkn lafurahisha!
4. Penzi sio SUMU lkn linaua!
5.Penzi c MATESO lkn linatesa!
6. Penzi c KIDONDA lkn linatonesha!
7. Penzi c CHEO lkn laheshimiwa!
8. Penzi c MALI lkn linalindwa!miss u.
.......................
ITAKUA" Kama "NDOTO" Pale "MOYO" Wangu Utakapozima Kama "MSHUMAA" Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie "SAUTI" Yangu Lakini Utakuwa Tayari Umeshachelewa. "KILIO, HUZUNI, SIMANZI Na MAJONZI" Zitakuwa Zimetanda Katika Kuta Za "MOYO" Wako. MACHOZI" Yatakutoka Kila Utakapokumbuka UCHESHI Wangu Na Moyo Utakuwa Mpweke Kila Utakapoiona NAMBA Yangu Kwenye Simu Yako. Utatamani Uifute Ila Roho Itakuuma Kwa Kuwa Umenizoea. Hivyo Jaribu Kufurahia uwepo wangu angali nipo hai.tusameheane hakika sisi nibinadamu hatujakamilika.hakuna ambaye sio mkosefu"J.pili njema Hny.
........................
chozi langu adimu ila wewe waeza litoa,kilio changu cha msimu ila ww waeza niliza,nakupenda xana
.......................
 chozi ni kimiminika chenye ladha,hutoka kwa sababu fulani au kuajili ya mtu fulani,kwangu mie chozi langu la tiririka bila sababu kila ninapo kuona,nashindwa kuelewa kwanini ?wakati najua chozi halitoki bila sababu,baada ya kutafakari kwa mda niligundua pendo la dhati nililo nalo kuajili yako ndilo hunifanya niwe katika hali hiyo.
........................
***Pasipo na SALAMU hapana UPENDO***.

***Pasipo na UPENDO hapana AMANI***.

***Pasipo na AMANI hapana IMANI***.

***na bila ya IMANI huingii PEPONI***

Kama unayasadiki maneno haya mpe SALAMU yule unaye mpenda na unayemjali.

Mimi ninakupenda na ninakujali ndio maana ninakusalim
na kukutakia asbh njema 
...............
 => Wahenga walisema;
" Salamu ni Nusu ya kuonana "
=> Wenye Hekma wamesema;
" Raha ya Salamu ni Kusalimiana "
=> Waungwana nao wamesema;
" Ukipata Salamu, kamata Kalamu "
=> Hao wote waliona Umuhimu wa Salamu, na ndio maana wakavumbua Misemo mbali mbali kwa ajili ya kuzidisha :-
=> URAFIKI,
=> UNDUGU, baina ya watu wanaosalimiana.
=> Nami kwa kulijua hilo, nafanya Hima kukusalimia ndugu yangu kwa kusema 
:UHALI GANI?
......................
 Nalia  ukiwa "MBALI" nachukia nisipo "KUONA" najuta ninapo "KUUDHI" naumia unapo"NITENGA" nateseka ukiwa "KIMYA" ninafurahi "UKINIKUMBUKA.  UCKU MWEMA  Hny.
.......................
Kabla ya ndoa mambo huwa hivi;-

MME: Natamani sana iwe hivyo.
MKE: Vipi, wataka niondoke?
MME: Hapana hata kidogo.
MKE: unanipenda? 
MME: Ndo maanake.
MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?
MME: Siwezi huo upuuzi.
MKE: Utanibusu milele?
MME: Kila mara.
MKE: Je, utanipiga?
MME: Aaaa haiwezi tokea.
MKE: Naweza kukuamini?
MME: Naam.
MKE: Jamani mpenz!!

Na pia ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje?. Anza kusoma sms hii kuanzia chini kwenda juu.
.........................
AJABU YA PENZI:
1. Penzi sio UGONJWA lkn linauguza!
2. Penzi sio MSIBA lkn linaliza!
3. Penzi sio HARUSI lkn lafurahisha!
4. Penzi sio SUMU lkn linaua!
5.Penzi c MATESO lkn linatesa!
6. Penzi c KIDONDA lkn linatonesha!
7. Penzi c CHEO lkn laheshimiwa!
8. Penzi c MALI lkn linalindwa!miss u.
..........................
 ITAKUA" Kama "NDOTO" Pale "MOYO" Wangu Utakapozima Kama "MSHUMAA" Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie "SAUTI" Yangu Lakini Utakuwa Tayari Umeshachelewa. "KILIO, HUZUNI, SIMANZI Na MAJONZI" Zitakuwa Zimetanda Katika Kuta Za "MOYO" Wako. MACHOZI" Yatakutoka Kila Utakapokumbuka UCHESHI Wangu Na Moyo Utakuwa Mpweke Kila Utakapoiona NAMBA Yangu Kwenye Simu Yako. Utatamani Uifute Ila Roho Itakuuma Kwa Kuwa Umenizoea. Hivyo Jaribu Kufurahia uwepo wangu angali nipo hai.tusameheane hakika sisi nibinadamu hatujakamilika.hakuna ambaye sio mkosefu"J.pili njema Hny.
.......................
 Mpita njia kashkwa na kiu kaenda kuomba maji jiran,dogo akampa maziwa jamaa akanywa akasema kiu bado,dogo akampa tena glasi ya maziwa,jamaa akauliza mna maziwa mengi? Dogo akamjibu si hatuyataki kwani jana panya alidumbukia, jamaa kusikia hivyo akashtuka akaangusha glasi,basi dogo akaita mamaa mgeni kavunja ile glasi ya bibi ya kutemea mate!!! Jamaa akazimia...aa!!
.........................
  ingekuwa upendo unauzwa nisingekuuzia kamwe,ingekuwa pendo ni mwandiko ningeandika counte nzima,ingekuwa pendo ni wino hakika kalamu yangu isiyoisha,ingekuwa pendo ni kisima maji kisimani kwangu kwa ajili yasingekauka.nakupenda hny
...........................
 pendo ni mwandiko mzuri wenye vina ya kimapenzi,kwa utajo wake ni wenye kutamkwa vizuri,kwa uzuri wake hutufanya tupendane xana,acha nikupe mwandiko wangu nakuomba uuthamini. 
.........................
 Wagunduzi walifanya hivi kujua asali ni tamu walionja kwa ulimi, vile vile shubiri kujua kama ni chungu walionja kwa ulimi. Lakini wanasema mapenzi ni matamu zaidi ya asali na ni machungu kuliko shubiri. Je.? Unaweza kuniambia waliyaonja vipi kabla ya kujua?
........................
 Udugu wa kweli ndio wenye thamani,
Utajiri na mali si chochote maishani,
Upendo na kunijali ni faraja ya moyoni,
Hata kama upo mbali bado nakuthamini, Sa(.....)
..........................
  "UPENDO" 
haupandwi ardhini,      "UPENDO"
hauoti baharini,
"UPENDO"
haununuliwi dukani,
"UPENDO"
hauna ushauri,
"UPENDO"
haufundishwi darasani,
bali"UPENDO"hutoka ktk moyo wa mtu.
Na ni tabia ya mtu aliyozaliwa nayo toka kwa"MUNGU".  na kudhihirisha hilo Napenda Kuktakia USKU MWMA.
..........................
mimi ni mkimbizi wa mapenzi na nimekimbilia kwako,sikwenda mwingine wewe ndiye chaguo langu,nipe hifadhi moyo mwako mwenzio sinayo hali. nihifadhi peke yangu nami nitakuhifadhi moyoni mwangu.
.........................
 nakutakia usiku mwema kwako wewe wangu kipenzi,uote njozi njema,na uniote nami pia., usiku huu uwe wenye baraka kwako nami dua kukuombea,malaika wa kheri wazunguke kitanda chako.usiku mwema.
........................
 mapenzi ni kama mti huchanua yanaponyeshewa,hunawiri yanapolelewa,na hutoa matunda pindi yanapo thaminiwa,gharama la tunda litokalo mtini hapo hutegemeana na ubora wake.nasi tulifanye penzi letu liwe bora,na lenye kuthaminiwa.
..........................
 pendo ni dawa ya kidonda cha moyo,huleta faraja ulipokata tamaa,yaleta furaha ulipokwa unaraha,huleta thamani iliyopotea,huleta amani pasipo na amani,nakupa langu pendo kwa sababu nakupenda sana,usisahau kumeza kwani utaharibu dozi.

.........................

 ILOVE Y0U ''"""""""""""""""""""
I NEED Y0U
%%%%%%%%%
I MISS Y0U
=============
I'M HAPPY 2 U
***************
Najua moyo wangu umekuchagua ww na kuku2mia zawadi hii ili uelewe kwamba nakupenda sana, nakujali zaid, nakuthamini kuliko, nakutakia kila la kheri pamoja na dua njema,Ucku mwema hny.
.............................
Urafiki"  "ni"  "mzuri"  "urafiki"  "ni"  "raha"  "ikiwa"  "mtapendana"  "urafiki" "ni"  "furaha" "kama" "mtasikilizana"  "urafiki" "ni"  "mtamu" "kama" "mtasaidiana" "urafiki" "ni"  "mwema"  "kama" "Mtakumbukana" "urafiki" ni hadhina ya maisha" urafiki unazidi undugu kama mtaudumisha" "hakika" "rafiki" "mwema" "ni"  "wewe" "mwengine" "sijamuona" "ishaallah" "tumuombe" "M/mungu" "atujaalie" "tuzidi" "kukumbukana" na" Kupendana" "I miss"you" my friend
................................

STORY NZURI
      YA UPENDO 
Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba.  Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA.
Masikini kumbe jike alifika tangu jana  kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda...!!
Jee...!! wewe, utamuonesha nini umpendaye  ili aone ni kiac gani
.
.........................

 kipi unataka kutoka kwangu Mwez huu wa july hii?
1=Moyo wangu

2=Tabasamu langu

3=Penzi langu

4=Hadithi

5=Urafiki

6=Muungano na mimi

7=Msamaha

8=Mahusiao

9=Tuchat sana

10=Muda wangu

11=Kwenda kuburudika na mimi sehem

12=Kuja kulala kwetu

13=Kuyashirikisha maisha na mimi.

14=Ushaur 

15=Kukuchum.

Watumie sms hii rafiki zako woote ,uone nn wanataka uwafanyie,Lakini nijibu mm kwanza tafadhal...
........................

 Tukiwa tupo mwezi wa 9 robo 3 ya mwaka 2013 nachukua fursa hii kukushukuru sana kwa kutumia muda wako mwingi na fedha zako ili kuwasiliana nami. Kila niliposoma sms zako zenye nasaha,mzaha,kuelimisha n.k. niligundua mambo makubwa matano
1:KUNIJALI
2:UPENDO
3:FURAHA
4:WEMA
5:KUNITHAMINI
Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya maana sn kwangu,sikuhisi UPWEKE wa kukosa rafiki katika huu uso wa DUNIA,nakuomba unisamehe  nilipokosea na ninakuombea Kwa MUNGU akupe MAFANIKIO MEMA KTK MAISHA YAKO.

......................
WEWE NI MFANO WA TUNDA GANI KATI YA HAYA?
1.EMBE-Furaha ya ndoa.
2.CHUNGWA-Mpweke lakin unatafuta.
3.LIMAU-Unampenda mtu lakin unaogopa kumwambia.
4.SHOKISHOKI-Upo ktk mahusiano ama ndoa lakin unaye mwengine ambaye unampenda.
5.PEASI-Bado unampenda mtu wako wa zaman.
6.PARACHICHI-Upo ktk mahusiano na m2 asiyekufaa na hujui ni kwann unaendelea naye.           7.ZABIBU-Mpweke lakin ni mwenye furaha
8.NANASI-Huna habari na mapenz 9.TANGO-Upo ktk mahusiano lakin hujui kitakachotokea baadae.
10.PERA-Unampenda m2 ambaye naye anampenda m2 mwengine
11.PENSHENI-Umechanganyikiwa...*Nijibu tafadhari ila Kuwa mkweli*

.......................
"MAISHA" ni ugomvi unapoyatafuta tayari umeingia bifu na walimwengu 

"MAISHA" ni vita kali sana inahitaji maandalizi na zifuatazo ni silaha 9 Muhimu lazima uwenazo:-

1. Jiamini na uwe na nia ya              unachokitafuta.

2. Uvumilivu kwa litakalokukuta.

3. Kuwa muaminifu kwa kila mtu.

4. Usikate tamaa iwapo                  haujafanikiwa.

5. Kuwa na malengo ktk kipato chako.

6. Jenga upendo kwa kila mtu.

7. Chunguza utakalo ambiwa kabla hujachukua hatua.

8. Epuka marafiki wanaopenda       starehe.

9. Jua kuna faida na hasara!

NAKUTAKIA MSIMAMO MWEMA.

  "nakutakia cku njema"    
.................................

  Salamu ni moyo ktk "IMANI". Salamu ni uhai ktk "UPENDO". Salamu ni ufunguo wa "RIZIKI" salamu ni chakula cha "NAFSI" salamu ni "MSAMAHA" wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi" salamu huondosha "UADUI" Hakika salamu ni"UTAKASO" wa "NAFSI". Nami nakupa wewe niliyekutunuku. *****MCHANA MWEMA!*****
..................... 
.....................

Neno gani? linaumiza zaidi kutoka kwa mpenzi wako unae mpenda kwa dhati kati ya haya:- 1.Tuachane.

2.Sikutaki tena. 3.Nimepata mwngne.

4.Mbona king'ang'anizi wewe. 5.Sikupendi.

6.Wazazi wangu hawakutaki.

7.Siwezi kua na wewe.

8.Kama nilikosea njia tu.       9.Huna mvuto. 10.Najuta kuwa na ww.

naomba jibu

…………………………………….

UKITAKA KUWA NA FURAHA KILA SIKU..fanya hivi...amini kuwa Mungu pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yako..na si binadamu....mpende anaekutakia mabaya kwa kuamini hajui atendalo...ishi kwa uhalisia wako na usìige maisha au mtindo wa maisha ya mtu...tii haja za moyo wako si maneno ya watu..ridhika na ulichonacho kwa kuamini ndicho mungu alichokupa na kuna siku utapata zaidi...Jipende jinsi ulivyo maana kuna wenye kasoro zaidi yako....wanaokudharau waheshim maana wanakupa uchungu wa kutafuta mafanikio...amini wewe ni bora na muhimu kwa jamii, ndio maana umeumbwa. Asubui.njema

……………………………………………………

Röhö håinå furaha sababü  ya ükimyä wåkö,näfsi håinå raha kükösä såuti yako,möyöni näsonönekä kükösä salam yäkö,håkikå nitäfürähikä kuijuä häli yåko "ümzima"?.

……………………………………………….

Kanuni za kudumisha "PENZI" Milele. 1.Ukipenda ucpende tena. 2.Penda kwa dhati.3.Mheshimu Mpenzi wako. 4.Kuwa mvumilivu 5.Mjali umpendae 6.Jivunie kuwa nae 7.Ucmfiche jambo 8.Ucpende achukie 9.Unapokosea omba radhi.10.Uckubali kumpoteza (ukifanya hivyo mtapendana milele) nakupenda Sana.

……………………………………………………………..

Mapito ni mengi, ktk maisha... Utaumia, utalia, utahuzunika, utakata tamaa, utavunjika moyo na wakati mwingine kujuta kwanini ulizaliwa, lakini kaa ukijua hayo yote yanatakiwa kuwepo ili, kukufanya jasiri ktk kuzifikia ndoto na malengo yako, usikate tamaa MUNGU yupo pamoja na wewe.UCIKU MWEMA

…………………………………………..

ITAKUA" Kama "NDOTO" Pale "MOYO" Wangu Utakapozima Kama "MSHUMAA" Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie "SAUTI" Yangu Lakini Utakuwa umesha chelewa, ''KILIO' 'HUZUNI' SIMANZI'' na "MAJONZI zitakuwa zimetanda ktk KUTA za MOYO wako MACHOZI Yatakutoka kila utakapo kumbuka ucheshi WANGU tkwako na MOYO Utakuwa Mpweke kila utakapoiona namba YANGU Kwenye Cm YAKO Utatamani uifute ila ROHO Itakuuma kwa KUWA Umenizoea Hivyo Jaribu Kufurahia Uwepo WANGU Kabla Sijatoweka Dunian Ata Chura Ujua Umuhim Wa Maji Pindi Yanapo Kauka Tuishi Kwa Aman Na Upendo Maish Ya Dunian Ni Mafupi%
*********************************

Post a Comment

3 Comments

  1. Haya, nimefurahi sana kuwa ndoa yangu iliyovunjika imerejeshwa na mume wangu amerudi baada ya kuniacha mimi na watoto wetu 2 kwa mwanamke mwingine. Baada ya miaka 8 ya ndoa, mimi na mume wangu tulibishana hadi mwishowe aliniacha na kuhamia California kuwa na mwanamke mwingine. Nilihisi kwamba maisha yangu yamekwisha na watoto wangu walifikiria hawatamuona baba yao tena. Nilijaribu kuwa na nguvu kwa watoto tu, lakini sikuweza kudhibiti maumivu ambayo yalitesa moyo wangu. Moyo wangu ulijaa wasiwasi na maumivu kwa sababu nilikuwa nikimpenda sana mume wangu. Ninamfikiria kila siku na usiku na siku zote natamani anirudi kwangu. Nilikasirika sana na nilihitaji msaada. Kwa hivyo nilitafuta msaada mkondoni na nikapata wavuti inayosema whitemagicmaster. , Kwa hivyo nilihisi kama ninafaa kujaribu. Niliwasiliana naye na akaniambia nifanye na nikafanya, kisha akanitengenezea moja (upendo spell) kwa ajili yangu. Masaa 28 baadaye mume wangu alinipigia kweli na kusema ananikosa sana na watoto. Ajabu sana !! Kwa hivyo alirudi kwa upendo na shangwe siku ile ile na akaomba msamaha kwa kosa lake na kwa maumivu aliyonipata mimi na watoto. Basi, tangu siku hiyo kuendelea, ndoa yetu ilikuwa na nguvu kuliko hapo awali, shukrani zote kwa mzungu. Yeye ni mwenye nguvu sana na niliamua kushiriki hadithi yangu mkondoni kwamba whitemagicmaster ni mchawi wa kweli na mwenye nguvu. Nitawaombea kila wakati kuwa anaishi muda mrefu kuwasaidia watoto wake katika wakati mgumu wakati mko hapa na unahitaji baba yako wa zamani au mumeo amehamia kwa mwanamke mwingine, au unataka Herb apate ujauzito.stop kulia, wasiliana na huyu mchawi mwenye nguvu sasa. Hapa ni mawasiliano yake: Barua pepe kwa: wightmagicmaster@gmail.com

    ReplyDelete
  2. Baada ya kuona chapisho kwenye mtandao la Jenna kutoka USA akisema jinsi alivyosaidiwa na Dk. DAWN, niliamua pia kuwasiliana naye kwa msaada kwa sababu sikuwa na chaguo nilichotaka ni kumrudisha mpenzi wangu na furaha. Kwa mshangao mkubwa mpenzi wangu alifika nyumbani akiwa amepiga magoti kwamba nitafute nafasi moyoni mwangu kumsamehe, hakika nilistaajabu na kushtuka mpenzi wangu alipopiga magoti akiomba msamaha na mimi nimkubalie tena. Kweli nimepungukiwa na maneno, na sijui ni kiasi gani cha kukushukuru wewe Dr. DAWN. Wewe ni Mungu aliyetumwa kurejesha uhusiano uliovunjika, Na sasa mimi ni mwanamke mwenye furaha. mawasiliano yake ni Whatsapp +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

Youtube Channel Image
Hajiizo Subscribe To watch more
Subscribe